Na Solomon Lekui
|
Waziri wa elimu Dk. SHUKURU KAWAMBWA akizungumza na wanafunzi wa kiislamu jijini Dar es salaam katika maeneo ya kidongo chekundu |
|
Dk. SHUKURU akiondoka maeneo hayo chini ya ulinzi mkali wa polisi |
|
wanafunzi na mabango mbali yenye jumbe mbalimbali |
Wanafunzi wa kiislamu shule za sekondari za Dar es salaam wameandamana jana kama walivyoahidi siku chache zilizopita kwenye vyombo vya habari. Maandamano yao yaliishia viwanja vya kidongo chekundu na waziri wa elimu Dk.shukuru kawambwa alikuwepo kuongea nao.
No comments:
Post a Comment