Saturday, January 21, 2012

MAANDAMANO YA WANAFUNZI WA KIISLAMU CHINI YA ULINZI MKALI WA POLISI

Na Solomon Lekui


Waziri wa elimu Dk. SHUKURU KAWAMBWA akizungumza na wanafunzi wa kiislamu jijini Dar es salaam katika maeneo ya kidongo chekundu
Dk. SHUKURU akiondoka maeneo hayo chini ya ulinzi mkali wa polisi


wanafunzi na mabango mbali yenye jumbe mbalimbali






Wanafunzi wa kiislamu shule za sekondari za Dar es salaam wameandamana jana kama walivyoahidi siku chache zilizopita kwenye vyombo vya habari. Maandamano yao yaliishia viwanja vya kidongo chekundu na waziri wa elimu Dk.shukuru kawambwa alikuwepo kuongea nao.


No comments:

Post a Comment