Thursday, January 12, 2012

Salam kutoka Finland

Waziri wa Habari na Mahusiano ya Umma, TUSO IUCO, Elisha Magolanga akiwa nchini Finland kuhudhuria mafunzo (Exchange programme) katika chuo cha Turku University Applied of Sciences
Katikati ya jiji la Turku, mji

Katika sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wote waliohudhuria exchange programme katika Hotel ya Holiday Inn mjini Turku

No comments:

Post a Comment