Raisi wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa Mh. Method Kagoma akiwa anaelezea jambo wakati wa sherehe ya kuapishwa naibu waziri wa mikopo. |
Moses Samson alipokuwa akiapishwa katika ofisi ya raisi kama naibu waziri wa mikopo katika chuo cha Tumaini Iringa. |
Naibu waziri mteule akiwa anasikiliza nasaha za raisi wa chuo. |
Waziri mkuu wa chuo cha Tumaini Iringa, Bahati Richardson akiwa anaongea machache baada ya kuapishwa kwa Moses Samson. |
Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika sherehe ya kuapishwa naibu waziri wa mikopo ndani ya ofisi ya raisi. Posted by Frank Kimaro |
No comments:
Post a Comment