Thursday, November 10, 2011

Naibu waziri wa mikopo aapishwa katika chuo kikuu cha Tumaini Iringa.



Raisi wa chuo kikuu cha Tumaini Iringa Mh. Method Kagoma
akiwa anaelezea jambo wakati wa sherehe  ya kuapishwa naibu waziri wa mikopo.
Moses Samson alipokuwa akiapishwa katika ofisi ya raisi
kama naibu waziri wa mikopo katika chuo  cha Tumaini  Iringa.
                                    

Naibu waziri mteule akiwa anasikiliza nasaha za raisi wa chuo.
Spika wa bunge la serikali ya wanafunzi Henry Mwinuka(kushoto),naibu spika  Mauna  Chuma(katikati)
wakiwa  na waziri  wa ulinzi Eliasa Salumu katika sherehe hiyo fupi ya kumuapisha naibu waziri wa mikopo.
                                               
Waziri mkuu wa chuo cha Tumaini Iringa, Bahati Richardson
akiwa  anaongea machache  baada ya  kuapishwa  kwa  Moses Samson.

Baadhi ya mashuhuda waliokuwepo katika sherehe ya kuapishwa
naibu waziri  wa mikopo  ndani ya ofisi  ya raisi.

                                  Posted by Frank Kimaro
                                         

No comments:

Post a Comment