Friday, March 16, 2012

Maadhimisho ya wiki ya maji yaanza mkoani Iringa.

Na. Frank Kimaro

matukio katika picha
katika banda la AMREF mambo yalikua hivyo watu wakiangalia vitu mbalimbali katika maonesho.


Bomba lililotengenezwa maalumu kwa ajili ya maonesho hayo
 
Mawakala wa kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa ndani ya bango lao.
 
Kikundi cha ngoma kikiwa kinatumbuiza katika maadhimisho hayo.



BAADA YA KUONEKANA KUWA RAISI ATAHUDHURIA KATIKA KILELE CHA MAADHIMISHO YA SHEREHE HIZO UKARABATI WA BAADHI YA BARABARA UMEANZA KAMA INAVYOONEKANA KWENYE PICHA HAPO CHINI . SWALI LINAKUJA KWAMBA WALIKUWA WAPI KUKARABATI SIKU ZOTE INA MAANA PESA ZINATOLEWA NA SERIKALI KWA AJILI YA UJENZI WA BARABARA ILA HAZITUMIKI KAMA INAVYOPASWA.

Kipande cha barabara kinachotengenezwa maeneo ya  mshindo manispaa ya  Iringa baada ya kuonekana  raisi atazuru katika manispaa hiyo.

No comments:

Post a Comment