Na. Frank Kimaro
matukio katika picha
katika banda la AMREF mambo yalikua hivyo watu wakiangalia vitu mbalimbali katika maonesho. |
Bomba lililotengenezwa maalumu kwa ajili ya maonesho hayo |
Mawakala wa kampuni ya bia ya Serengeti wakiwa ndani ya bango lao. |
Kipande cha barabara kinachotengenezwa maeneo ya mshindo manispaa ya Iringa baada ya kuonekana raisi atazuru katika manispaa hiyo. |
No comments:
Post a Comment