Na solomon ole lekui
Ni hoi hoi vifijo na nderemo katika viwanja vya shule ya msingi leganga iliyoko USA river mkoani Arusha pale chama cha demokrasia na maendeleo walipozindua kampeni zao za uchaguzi mdogo katika jimbo la Arumeru mashariki. Uchaguzi huo unafanyika baada ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kufariki kwa kansa ya ubongo.
katika uchaguzi huo wagombea saba wametamba kushinda huku chama cha mapinduzi na chama cha demokrasia na maendeleo zikionekana kuwa na ushindani mkubwa zaidi.
No comments:
Post a Comment