Kamati ya Fedha na Mipango wakijadiliana dakika za mwisho kabla ya kuwasilisha Bajeti Bungeni |
Wabunge la Bunge la TUSO-IUCo 2011/12 wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti |
Mh Mbunge akielekeza jambo fulani |
Waziri wa Elimu |
Waziri wa Makazi,Mh.Nativity. |
"Kama hakuna watu sina sababu ya kupeleka ulinzi ukumbini" majibu ya Waziri wa Ulinzi na Usalama TUSO-IUCo 2011/12 kwa wabunge " |
Mh Catherine Moshi,kaimu Waziri wa Habari na Mahusiano ya Umma akisoma bajeti ya Wizara mbele ya Bunge Tukufu la TUSO-IUCo. |
"Burudani ndo kila kitu bwana",Waziri wa Michezo,Burudani na Utamaduni akisoma bajeti ya wizara yake. |
Chakula kwa afya bora; Naibu Waziri wa Chakula na afya akiwasilisha. |
Na hapa ndo nyumba ambapo maadili yote yanapatikana Bwana.Waziri wa maadili akiwasilisha. |
Waziri wa Fedha na Mipango Wakipongezana na Spika wa Bunge baada ya Bunge la tano la 2011/12 kuahirishwa. |
Spika wa Bunge akifafanua jambo wakati wa uwasilishaji wa bajeti |
Waziri wa Fedha na Mipango zamu yake ilifika ya kuwasilisha bajeti Bungeni. |
Zamu ya kuwasilisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu iliwadia,na hapa Waziri Mkuu,Mh Richardson akiwasilisha |
No comments:
Post a Comment