Monday, December 19, 2011

YALIYOJILI ZAIDI WAKATI WA BUNGE LA BAJETI 2011/2012.

Kamati ya Fedha na Mipango wakijadiliana dakika za mwisho kabla ya kuwasilisha Bajeti Bungeni

Wabunge la Bunge la TUSO-IUCo 2011/12 wakifuatilia kwa makini uwasilishaji wa Bajeti

Mh Mbunge akielekeza jambo fulani

Waziri wa Elimu

Waziri wa Makazi,Mh.Nativity.

"Kama hakuna watu sina sababu ya kupeleka ulinzi ukumbini" majibu ya Waziri wa Ulinzi na Usalama TUSO-IUCo 2011/12 kwa wabunge "

Mh Catherine Moshi,kaimu Waziri wa Habari na Mahusiano ya Umma akisoma bajeti ya Wizara mbele ya Bunge Tukufu la TUSO-IUCo.

"Burudani ndo kila kitu bwana",Waziri wa Michezo,Burudani na Utamaduni akisoma bajeti ya wizara yake.

"Mkinipa Milioni moja,nawahakikishia ifikapo January 2012 Website ya wizara itakuwa imeshaanza kufanya kazi,nipatieni hii hela jamani",maneno ya Waziri wa Mambo ya nje Mh.Ezekiel akitetea bajeti yake ipitishwe mapema jana.

Chakula kwa afya bora; Naibu Waziri wa Chakula na afya akiwasilisha.

Na hapa ndo nyumba ambapo maadili yote yanapatikana Bwana.Waziri wa maadili akiwasilisha.

Waziri wa Fedha na Mipango Wakipongezana na Spika wa Bunge baada ya Bunge la tano la 2011/12 kuahirishwa.

Spika wa Bunge akifafanua jambo wakati wa uwasilishaji wa bajeti

Waziri wa Fedha na Mipango zamu yake ilifika ya kuwasilisha bajeti Bungeni.


Zamu ya kuwasilisha bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu iliwadia,na hapa Waziri Mkuu,Mh Richardson akiwasilisha 



No comments:

Post a Comment