Monday, December 5, 2011

KONGAMANO LA VYUO VIKUU IRINGA,MATUKIO KATIKA PICHA.


Sehemu ya wageni  katika Kongamano hilo.

Mhadhiri wa Chuo Cha Tumaini Bw. Kabaka akichangia hoja katika kongamano hilo.

Naibu Meya wa Manispaa ya Mkoa wa Iringa Mh.Gervas Ndaki akichangia mada.





Makamu wa Raisi wa Chuo Kikuu Cha Tumaini akichangia mada katika Kongamano hilo.
Sehemu ya Washiriki kutoka vyuo vya Tumaini,Mkwawa na Ruco wakisikiliza mada mbalimbali.
(posted by Sixtus Bahati.)

No comments:

Post a Comment