Monday, May 14, 2012

CCM watumia mapanga kuvuruga mkutano wa Peter Msigwa

Na solomon Ole lekui


Akiwahutubia wananchi kijiji cha nduli kilichopo manispaa ya iringa.



Sehemu ya umati wa wananchi.


Akimtambulisha mtu aliyekua mwenyekiti wa ccm katika eneo hilo alie jiungana chadema akiwa na wanachama wengine zaidi ya 100 wakimfuata.


wakati akimalizia mkutano, vijana wanao daiwa kuwa ni watoto wa diwani wa eneo lile walivamia mkutano nakuanzisha vurugu wakitaka kumvamia Mh. msigwa. nakusababisha vurugu iliyo peleke kukatwa mapanga kwa vijana wa wili wa chadema, mmoja kukatwa mkono na mwingine kujeruhiwa vibaya usoni. vijana hao waliokua wamekusudia kumdhuru mh. msigwa


kijana wa chadema alie katwa mkono na vijana wa ccm ambao wanasemekana kuwa ni watoto wa diwani ccm wa eneo hilo.


vijana hao walio leta vurugu katika mkutano kwea sasa wanashikiliwa na polisi.

kesho mh. Msigwa ana tarajia kuongea na vyombo vya habari kuhusu yalio tokea leo.

No comments:

Post a Comment