Akiwahutubia wananchi kijiji cha nduli kilichopo manispaa ya iringa.
Sehemu ya umati wa wananchi.
Akimtambulisha
mtu aliyekua mwenyekiti wa ccm katika eneo hilo alie jiungana chadema
akiwa na wanachama wengine zaidi ya 100 wakimfuata.
wakati
akimalizia mkutano, vijana wanao daiwa kuwa ni watoto wa diwani wa eneo
lile walivamia mkutano nakuanzisha vurugu wakitaka kumvamia Mh. msigwa.
nakusababisha vurugu iliyo peleke kukatwa mapanga kwa vijana wa wili wa
chadema, mmoja kukatwa mkono na mwingine kujeruhiwa vibaya usoni.
vijana hao waliokua wamekusudia kumdhuru mh. msigwa
kijana wa chadema alie katwa mkono na vijana wa ccm ambao wanasemekana kuwa ni watoto wa diwani ccm wa eneo hilo.
vijana hao walio leta vurugu katika mkutano kwea sasa wanashikiliwa na polisi.
kesho mh. Msigwa ana tarajia kuongea na vyombo vya habari kuhusu yalio tokea leo.
No comments:
Post a Comment