Na Solomon Ole Lekui
Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), John Mnyika akiwa amenyanyuliwa juu na wafuasi wa chama hicho baada ya kushinda kesi.
Mbunge
wa Jimbo la Ubungo kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA),Mh. John Mnyika akiwa amebebwa juu juu na Wanachana wa Chama
hicho pamoja na washabiki wake nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es
Salaam leo mara baada ya kushinda kesi yake iliyokuwa ikimkabili
kuhusiana na Ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
Mbunge wa ubungo John Mnyika katikati akiingia Mahakamani jana
Mh. Mnyika alipokuwa akiwasili Mahakamani jana asubuhi.
Mnyika akipongezwa na Baadhi ya jamaa zake waliofika Mahakamani hapo.
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akipeana mkono na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika.
Baada ya kutolewa kwa hukumu na Jaji Upendo Msuya wa Mahakama Kuu
Kanda ya Dar es Salaam wapenzi na mashabiki wa Chadema walilipuka kwa
furaha.
Baadhi ya wafuasi wa CCM wakiwa Mahakamani.
Baadhi ya Waandishi wa Habari, wa pili kulia ni Happiness Katabazi kutoka Tanzania Daima
Baadhi
ya wafuasi wa Chadema wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania
jana asubuhi katika kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyofunguliwa na
aliyekuwa mgombea wa CCM, Hawa Ng'umbi.
Askari
Polisi wakihakikisha usalama upo wa kutosha katika njia walizokuwa
wakipita wapenzi wa Chadema kusherehekea ushindi wa Mbunge wao
No comments:
Post a Comment