Na Consolata Haule.
Katika mpira wa miguu Chuo kikuu cha Tumaini ilishinda magoli 3-0 katka vipindi tofauti na magoli ya mawili ya kwanza yalifungwa na mchezaji namba 4 SHIKIDE na kipindi cha pili goli lilifungwa na na mchezaji namba 11 SELSUSE MPOTO. Hivyo mpaka dakika tisini za uwanjani Chuo cha Tumaini kilikuwa kinaongoza kwa magoli dhidi ya wapinzani wao Chuo kikuu cha Mzumbe.
Kwa upande wa mpira wa pete Chuo cha Tumaini kiliweza ongeza kwa magoli 27 kwa 11 dhidi ya Chuo kikuu cha Mzumbe.Vilevile mpira wa wavu waliweza kuongoza tena kwa kuwafunga MZUMBE kwa seti 3 kwa 0(bila).Vilevile mpira wa kikapu Tumaini waliibuka tena kidedea.
wachezaji wa Chuo kikuu cha Mzumbe
No comments:
Post a Comment