Wednesday, May 30, 2012

Taswira Mbalimbali Za Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mohd Aboud na Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Saidi Mwema Walipotembelea Kanisa Lilochomwa Moto Huko Zanzibar

 Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud akielezea jambo kwa Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar Dickson D,Kaganga wakwanza kulia kuhusiana na kuchomwa moto kwa Kanisa hilo liliopo Kariakoo Mjini Zanzibar katikati ni  Mkuu wa Jeshi la Polisi I,G,P Saidi Mwemwa.
 Mku wa Jeshi la Polisi I,G,P Saidi Mwema akitoa hotuba kwa Maaskofu na baadhi ya waumini wa Kikristo katika kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar lililochomwa moto,ambapo hadi sasa watu 30 wamekamatwa  na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.kuliani kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Abdalla Mwinyi na kushoto yake ni Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa.
 Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Zanzibar Abdalla Mwinyi Khamis akitoa hotuba na kuonyesha Umoja na Mshikamano uliokuwepo kati ya Waislam na Wakristo kwa Picha ambayo imebuniwa na Mchoraji wa kingereza na kuwataka kuendelea na mshikamano wao ili kuzidi kuleta amani nchini.
 Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar Dickson D,Kaganga akielezea  kwa Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud na Viongozi wengine mbalimbali kile kilichotokea baada ya Kanisa hilo kuchomwa motokatika Vurugu zilizotokea Zanzibar ambapo hadi sasa watu 30 wamekamatwa  na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.
 Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar Dickson D,Kaganga akibubujikwa na Machozi kwa kuguswa na hotuba iliokuwa ikitolewa na Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud baada ya Kanisa hilo kuchomwa motokatika Vurugu zilizotokea Zanzibar ambapo hadi sasa watu 30 wamekamatwa  na baadhi yao kuhusishwa na tukio hilo.
 Mkuu wa Dini ya Kiislam Afisi ya Mufti wa Zanzibar Thabit Noman Jongo akitoa hotuba ya Dini inavyoeleza kuhusiana na kudumisha Amani na Usalama katika nchi na kuondosha mifarakano na chuki na kuharibu mali.Katika kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar ambalo limechomwa moto.
Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar Dickson D,Kaganga akimuonesha Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud maeneo yalioathirika zaidi baada ya Kanisa hilo kuchomwa moto katika Vurugu zilizotokea Zanzibar ambapo hadi sasa watu 30 wamekamatwa  na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.Picha na Yussuf Simai-Zanzibar

Friday, May 25, 2012

Taswira:John Mnyika(CHADEMA)Mbunge Halali Jimbo La Ubungo


 Mbunge wa Jimbo la Ubungo (CHADEMA), John Mnyika akiwa amenyanyuliwa juu na wafuasi wa chama hicho baada ya kushinda kesi.
 Mbunge wa Jimbo la Ubungo kwa Tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Mh. John Mnyika akiwa amebebwa juu juu na Wanachana wa Chama hicho pamoja na washabiki wake nje ya Mahakama Kuu kanda ya Dar es Salaam leo mara baada ya kushinda kesi yake iliyokuwa ikimkabili kuhusiana na Ushindi wake kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010.
 Mbunge wa ubungo John Mnyika katikati akiingia Mahakamani jana
 Mh. Mnyika alipokuwa akiwasili Mahakamani jana asubuhi.
  Mnyika akipongezwa na Baadhi ya jamaa zake waliofika Mahakamani hapo.
 Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe akipeana mkono na Mbunge wa Ubungo, John Mnyika.
  Baada ya kutolewa kwa hukumu na Jaji Upendo Msuya wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wapenzi na mashabiki wa Chadema walilipuka kwa furaha.
 Baadhi ya wafuasi wa CCM wakiwa Mahakamani.
Baadhi ya Waandishi wa Habari, wa pili kulia ni Happiness Katabazi kutoka Tanzania Daima
Baadhi ya wafuasi wa Chadema wakiwa nje ya jengo la Mahakama Kuu ya Tanzania jana asubuhi katika kesi ya kupinga matokeo ya Ubunge iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM, Hawa Ng'umbi.
 Askari Polisi wakihakikisha usalama upo wa kutosha katika njia walizokuwa wakipita wapenzi wa Chadema kusherehekea ushindi wa Mbunge wao

Monday, May 14, 2012

CCM watumia mapanga kuvuruga mkutano wa Peter Msigwa

Na solomon Ole lekui


Akiwahutubia wananchi kijiji cha nduli kilichopo manispaa ya iringa.



Sehemu ya umati wa wananchi.


Akimtambulisha mtu aliyekua mwenyekiti wa ccm katika eneo hilo alie jiungana chadema akiwa na wanachama wengine zaidi ya 100 wakimfuata.


wakati akimalizia mkutano, vijana wanao daiwa kuwa ni watoto wa diwani wa eneo lile walivamia mkutano nakuanzisha vurugu wakitaka kumvamia Mh. msigwa. nakusababisha vurugu iliyo peleke kukatwa mapanga kwa vijana wa wili wa chadema, mmoja kukatwa mkono na mwingine kujeruhiwa vibaya usoni. vijana hao waliokua wamekusudia kumdhuru mh. msigwa


kijana wa chadema alie katwa mkono na vijana wa ccm ambao wanasemekana kuwa ni watoto wa diwani ccm wa eneo hilo.


vijana hao walio leta vurugu katika mkutano kwea sasa wanashikiliwa na polisi.

kesho mh. Msigwa ana tarajia kuongea na vyombo vya habari kuhusu yalio tokea leo.

Friday, May 11, 2012

INTRODUCTION


The Department of Journalism was established in September 1997, being the first in Tanzania to offer a Bachelor of Arts in Journalism (BAJ). For over 10 years, the department has produced high-caliber journalists and communication experts who work throughout the media, in the national and international media/communication organizations. The department prides for having the teaching staff with significant experience in the media/communication industry. The department is a member of several professional and academic associations across the world. Through JOCID (Journalism for Civic and Democracy) partnership, for more than five years, the department has been sending and receiving exchange students and lecturers to and from the partner institutions (Diaconia University of Applied Sciences-Finland, Metropolia University- Finland, Polytechnic Namibia and Tumaini University, Iringa).

MISSION STATEMENT


The Department of Journalism is committed to:

OBJECTIVES


1.    Enable students to acquire skills, knowledge, and attitudes needed to work as reporters or editors for newspapers, magazines, radios, television, news agencies, and public relations offices; mass communication planners and educators; and public and private sector information officers.
2.    Equip students with the ability to understand and analyse the social, political, cultural and economic role of journalism and mass communication in the process of development within local, national, continental, and international context and perspective.
3.    Broaden and deepen students’ general knowledge.

ADMISSION


Applicants must meet the “General Admission Requirements, Parts 1 & 2” prior to meeting the “Specific Admission Requirements” for the programme they wish to enter.

EXAMINATION REGULATIONS


In order to be allowed admission to examinations, students must attend at least 75% of all lectures and tutorials.  (Exceptions may be made in cases of ill health.)

REQUIRED COURSES


1ST Semester (20 Credits)
ICT       101 – 2 Credits           Information Technology I
LANG     102 – 3 Credits           Communication Skills I
JOUR     101 – 3 Credits           Introduction to Mass                 
                                                   Communication and Journalism
JOUR     104 – 3 Credits           Library, Internet and Information
                                               Services
RELS     101 – 3 Credits           Foundations of Faith and Professional Ethics
JOUR     112 – 3 Credits           News Writing and Reporting
PRAC     101 – 3 Credits           Practicum  

2ND Semester     (22 Credits)
SOCS    103 – 3 Credits           Cultural Anthropology
DS                111 – 3 Credits           Development Studies
JOUR     113 – 3 Credits           Media Ethics and Culture
LANG     112 – 3 Credits           Communication Skills II
PHIL      112 – 3 Credits           Philosophy
PRAC     111 – 3 Credits           Practicum
ICT       112 – 4 Credits           Information Technology for
                                              Journalists


Second Year
1st Semester (24 Credits)

JOUR     200 – 3 Credits           Digital Media
JOUR     201 – 3 Credits           Editing and Design
JOUR     213 – 3 Credits           Radio Journalism
JOUR     221 – 3 Credits           Photo Journalism
REST     202 – 3 Credits           Research Methodology in
                                              Journalism
SOCS    201 – 3 Credits           Political & Economic Geography of
                                               Africa South of the Sahara
LANG     201 – 3 Credits           English for Journalists
PRAC     201 – 3 Credits           Practicum

2nd Semester (24 Credits)
SOCS    223 – 3 Credits           Sociology
SOCS    211 – 3 Credits           Rural Development
LAW      215 – 3 Credits           Media Law
JOUR     224 – 3 Credits           Television Journalism
JOUR     202 – 3 Credits           Public Relations and Advertising
JOUR     207 – 3 Credits           Mass Media and National
                                               Development
JOUR 223 – 3 Credits               Newspaper Production, Distribution
                                              and (Media Institutions & Organizations)
PRAC 211 – 3 Credits       Practicum

1st Semester (18 Credits)

JOUR 325 – 15 Credits      Media Internship   
JOUR 326 –   3 Credits     Internship Report Writing

2nd Semester (27 Credits)

EDUC 326 – 3 Credits       Principles of Teaching
LANG 303 – 3 Credits       Kiswahili kwa Wanahabari
REST 329 – 6 Credits       Research Paper in Journalism
ECON 323 – 3 Credits       Survey of Economic Principles
SOCS 301 – 3 Credits       Social Psychology
SOCS 321 – 3 Credits        Sociology of Gender and Gender Issues
JOUR 304 –3 Credits        Feature Writing, News Analysis and Current Issues


ELECTIVES (CHOOSE ONE):
JOUR 330 - 3 Credits        Advanced Photo Journalism
JOUR 331 - 3 Credits         Advanced Newspaper Journalism
JOUR 327 - 3 Credits        Advanced Radio Journalism
JOUR 328 - 3 Credits        Advanced Television Journalism
JOUR 329 - 3 Credits        Advanced Public Relations and
                                      Advertising

EXAMINATIONS AND GRADE SYSTEM


All students must understand and follow the Tumaini University Examination Regulations.

GRADUATION CLASSIFICATION


Candidates must have a minimum grade point average of 2.0 to be awarded the degree. Bachelor of Arts in Community Development degree will be classified according to the following Grade Point Averages:
First Class                           4.4 – 5.0
Upper Second class             3.5 – 4.3
Lower Second Class             2.7 – 3.4
Pass                                  2.0 – 2.6
Fail                                    0   – 1.9

Monday, May 7, 2012

MATUKIO KATIKA PICHA

Na Consolata Haule
                     wachezaji wa mpira wa wavu wa Chuo kikuu cha Tumaini(wenye jezi ya bluu) na Chuo kikuu cha Mzumbe (wenye jezi ya machungwa)  wakiwa pamoja katika picha.






               mchezaji wa Chuo cha Tumaini akijaribu kumtoka mchezaji wa Chuo cha Mzumbe







Sunday, May 6, 2012

CHUO KIKUU CHA TUMAINI CHAIBUKA WASHINDI DHIDI YA CHUO KIKUU CHA MZUMBE (MBEYA)

            

          Na Consolata Haule.
         
     Chuo kikuu cha Tumaini chaibuka kidedea katika michezo yote iliyochezwa katika viwanja vya chuoni hapo kwa kuwachapa wageni wao Mzumbe katika michezo yote iliyochezwa hapo ikijumuhisha mpira wa miguu,mpira wa pete,mpira wa nyavu pamoja na mpira wa kikapu.
 
      Katika mpira wa miguu Chuo kikuu cha Tumaini ilishinda magoli 3-0 katka vipindi tofauti na magoli ya mawili ya kwanza yalifungwa na mchezaji namba 4 SHIKIDE  na kipindi cha pili goli lilifungwa na na mchezaji namba 11 SELSUSE MPOTO. Hivyo mpaka dakika tisini za uwanjani Chuo cha Tumaini kilikuwa kinaongoza kwa magoli dhidi ya wapinzani wao Chuo kikuu cha Mzumbe.
       
      Kwa upande wa mpira wa pete Chuo cha Tumaini kiliweza ongeza kwa magoli 27 kwa 11 dhidi ya Chuo kikuu cha Mzumbe.Vilevile mpira wa wavu waliweza kuongoza tena kwa kuwafunga MZUMBE kwa seti 3 kwa 0(bila).Vilevile mpira wa kikapu Tumaini waliibuka tena kidedea.



                wachezaji wa chuo kikuu cha Tumaini wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mechi kuanza.




             
                    wachezaji wa Chuo kikuu cha Mzumbe