Tuesday, June 19, 2012

 Na Hija Mkali
Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh.John Mnyik atolewa nje ya Bunge mjini Dodoma leo.
Mbunge wa jimbo la Ubungo Mh.John Mnyika akitolewa nje ya ukumbi wa Bunge baada ya kukataa kubadili kauli yake ya kumdharau Rais Jakaya Kikwete.


Mbunge wa Ubungo akisindikizwa na masajent wa Bunge kutoka nje baada ya kuamuriwana na Naibu spika Job Ndugai


No comments:

Post a Comment