Monday, June 25, 2012

Na Hija MkalI

KESI YA LULU YAHAIRISHWA HADI JULAI 9 MWAKA HUU.


Msanii wa Film Elizabeth Michael maarufu kama Lulu,akisindikzwa na askari wa magereza kwenda kupakia kwenye basi la magereza,kurudishwa rumande hadi kesi hiyo otakapotajwa tena Juali 9.

No comments:

Post a Comment